3 Basi Yehova akawapa watu kibali machoni pa Wamisri.+ Mwanamume huyo Musa pia alikuwa mkuu sana katika nchi ya Misri, machoni pa watumishi wa Farao na machoni pa watu.+
19 Naye akawaambia: “Mambo gani?” Wakamwambia: “Yale mambo kuhusu Yesu Mnazareti,+ aliyekuwa nabii+ mwenye nguvu katika kazi na neno mbele za Mungu na watu wote;