18 Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe;+ nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atasema nao yote nitakayomwamuru.+
2 Huyo alimjia wakati wa usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ukiwa mwalimu+ umekuja kutoka kwa Mungu;+ kwa maana hakuna anayeweza kufanya ishara+ hizi ambazo unafanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+
22 “Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu Mnazareti,+ mwanamume aliyeonyeshwa hadharani na Mungu kwenu kupitia kazi zenye nguvu+ na mambo ya ajabu na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia kwake katikati yenu,+ kama vile ninyi wenyewe mnavyojua,