Mathayo 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka,+ na si kama waandishi wao. Yohana 7:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Wale maofisa wakajibu: “Mtu mwingine hajapata kamwe kusema kama huyu.”+