Kutoka 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+ Zaburi 106:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Unikumbuke, Ee Yehova, kwa nia njema kuelekea watu wako.+Unitunze kwa wokovu wako,+ Luka 1:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+
31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+
4 Unikumbuke, Ee Yehova, kwa nia njema kuelekea watu wako.+Unitunze kwa wokovu wako,+ Luka 1:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+
68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+