Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+— Luka 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akawaambia: “Mambo gani?” Wakamwambia: “Yale mambo kuhusu Yesu Mnazareti,+ aliyekuwa nabii+ mwenye nguvu katika kazi na neno mbele za Mungu na watu wote; Yohana 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Huyo mwanamke akamwambia: “Bwana, ninaona kwamba wewe ni nabii.+ Yohana 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo watu hao walipoona ishara alizofanya, wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ndiye nabii+ aliyepaswa kuja ulimwenguni.” Yohana 7:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa hiyo baadhi ya umati ambao walisikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ni Yule Nabii.”+ Matendo 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia wana wa Israeli, ‘Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.’+
15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+—
19 Naye akawaambia: “Mambo gani?” Wakamwambia: “Yale mambo kuhusu Yesu Mnazareti,+ aliyekuwa nabii+ mwenye nguvu katika kazi na neno mbele za Mungu na watu wote;
14 Kwa hiyo watu hao walipoona ishara alizofanya, wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ndiye nabii+ aliyepaswa kuja ulimwenguni.”
40 Kwa hiyo baadhi ya umati ambao walisikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ni Yule Nabii.”+
37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia wana wa Israeli, ‘Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.’+