9 Nami nitakuwa pamoja nawe popote utakapokwenda,+ nami nitawakatilia mbali adui zako wote kutoka mbele yako;+ nami hakika nitakufanyia jina kuu,+ kama jina la wakuu walio duniani.
4 Kwa maana Mordekai alikuwa mkuu+ katika nyumba ya mfalme na sifa yake+ ilivuma kotekote katika wilaya zote za utawala, kwa sababu huyo Mordekai alikuwa akizidi kuwa mkuu.+