1 Samweli 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi alikuwa akitenda kwa busara+ katika njia zake zote, na Yehova alikuwa pamoja naye.+ 2 Samweli 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo Daudi akaendelea kuwa mkuu zaidi na zaidi,+ na Yehova Mungu wa majeshi+ alikuwa pamoja naye.+
10 Kwa hiyo Daudi akaendelea kuwa mkuu zaidi na zaidi,+ na Yehova Mungu wa majeshi+ alikuwa pamoja naye.+