1 Samweli 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+ 2 Samweli 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi vikawa vya muda mrefu;+ na Daudi akazidi kupata nguvu,+ nayo nyumba ya Sauli ikazidi kupungua.+ Ayubu 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwadilifu anaendelea kuishika sana njia yake,+Na mwenye mikono safi+ anaendelea kuongezeka nguvu.+
13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+
3 Na vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi vikawa vya muda mrefu;+ na Daudi akazidi kupata nguvu,+ nayo nyumba ya Sauli ikazidi kupungua.+