Mwanzo 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, yeye hakuniambia, ‘Huyu ni dada yangu’? naye huyu—je, yeye pia hakusema, ‘Yeye ni ndugu yangu’? Mimi nimefanya jambo hili katika unyoofu wa moyo wangu na bila hatia mikononi mwangu.”+ Zaburi 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+ Zaburi 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+
5 Je, yeye hakuniambia, ‘Huyu ni dada yangu’? naye huyu—je, yeye pia hakusema, ‘Yeye ni ndugu yangu’? Mimi nimefanya jambo hili katika unyoofu wa moyo wangu na bila hatia mikononi mwangu.”+
4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+
6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+