-
Mwanzo 20:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Je, yeye hakuniambia, ‘Huyu ni dada yangu,’ na mwanamke huyu pia hakuniambia, ‘Huyu ni ndugu yangu’? Nilifanya jambo hili kwa moyo mnyoofu na mikono isiyo na hatia.”
-