2 Mambo ya Nyakati 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Naye Sulemani mwana wa Daudi akaendelea kupata nguvu katika ufalme wake,+ na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye,+ akaendelea kumfanya kuwa mkuu zaidi.+ Zaburi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+Na ambao majani yake hayanyauki,+Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+
1 Naye Sulemani mwana wa Daudi akaendelea kupata nguvu katika ufalme wake,+ na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye,+ akaendelea kumfanya kuwa mkuu zaidi.+
3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+Na ambao majani yake hayanyauki,+Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+