- 
	                        
            
            1 Samweli 2:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
30 “‘Kwa sababu hiyo, hili ndilo neno la Yehova Mungu wa Israeli: “Hakika nilisema, Nyumba yako na nyumba ya babu yako, watatembea mbele zangu daima.”+ Lakini sasa hili ndilo neno la Yehova: “Ni jambo lisilowaziwa kwangu, kwa sababu wale wanaoniheshimu+ nitawaheshimu,+ na wale wanaonidharau watahesabiwa kuwa si kitu.”+
 
 -