Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yehova hunipa thawabu kulingana na uadilifu wangu;+

      Hunilipa kulingana na usafi wa mikono yangu.+

  • Zaburi 91:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+

      Mimi nitamwokoa pia.+

      Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+

  • Yohana 12:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ikiwa yeyote anataka kunihudumia, acha anifuate, na mahali nilipo hapo ndipo mhudumu wangu atakapokuwa pia.+ Ikiwa yeyote anataka kunihudumia, Baba atamheshimu huyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki