24 Baba, kwa habari ya kile ambacho umenipa, ninataka kwamba, mahali nilipo, wao pia wapate kuwa pamoja nami,+ ili wauone utukufu wangu ambao umenipa, kwa sababu ulinipenda kabla ya kuwekwa kwa msingi+ wa ulimwengu.+
17 Baadaye sisi tulio hai tuliobaki tutanyakuliwa,+ pamoja nao,+ katika mawingu+ ili kukutana+ na Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana sikuzote.+