26 Ikiwa yeyote anataka kunihudumia, acha anifuate, na mahali nilipo hapo ndipo mhudumu wangu atakapokuwa pia.+ Ikiwa yeyote anataka kunihudumia, Baba atamheshimu huyo.+
17 Baadaye sisi tulio hai tuliobaki tutanyakuliwa,+ pamoja nao,+ katika mawingu+ ili kukutana+ na Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana sikuzote.+