Mwanzo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Adamu akalala na Hawa mke wake naye akapata mimba.+ Baada ya muda akamzaa Kaini+ na kusema: “Nimezaa mwanamume kwa msaada wa Yehova.”+ Waebrania 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana sisi ambao tumeonyesha imani tunaingia katika pumziko, kama vile ambavyo amesema: “Kwa hiyo niliapa+ katika hasira yangu, ‘Hawataingia+ katika pumziko langu,’ ”+ ijapokuwa kazi zake zilimalizwa+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+
4 Basi Adamu akalala na Hawa mke wake naye akapata mimba.+ Baada ya muda akamzaa Kaini+ na kusema: “Nimezaa mwanamume kwa msaada wa Yehova.”+
3 Kwa maana sisi ambao tumeonyesha imani tunaingia katika pumziko, kama vile ambavyo amesema: “Kwa hiyo niliapa+ katika hasira yangu, ‘Hawataingia+ katika pumziko langu,’ ”+ ijapokuwa kazi zake zilimalizwa+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+