Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+

      Naye anayedumisha njia iliyowekwa,

      Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+

  • Methali 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani+ na kwa matunda ya kwanza ya mazao yako yote.+

  • 1 Timotheo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki