Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Kwa hiyo na tutoe kila mmoja kile ambacho amepata kiwe toleo la Yehova,+ vyombo vya dhahabu, mikufu ya mguuni, na vikuku, pete za muhuri,+ vipuli, na mapambo ya kike,+ ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zetu mbele za Yehova.”

  • Kumbukumbu la Torati 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Mara tatu katika mwaka kila mwanamume wa kwako ataonekana mbele za Yehova Mungu wako katika mahali ambapo atapachagua:+ katika sherehe ya keki zisizo na chachu+ na katika sherehe ya majuma+ na katika sherehe ya vibanda,+ na mtu yeyote asionekane mbele za Yehova mikono mitupu.+

  • Luka 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Pia, ninawaambia ninyi, Jifanyieni rafiki+ kupitia mali+ zisizo za uadilifu, ili, zitakapopunguka wawapokee ninyi katika makao ya milele.+

  • 1 Timotheo 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 wafanye mema,+ wawe matajiri katika matendo mazuri,+ wawe wakarimu, tayari kushiriki,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki