50 Kwa hiyo na tutoe kila mmoja kile ambacho amepata kiwe toleo la Yehova,+ vyombo vya dhahabu, mikufu ya mguuni, na vikuku, pete za muhuri,+ vipuli, na mapambo ya kike,+ ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zetu mbele za Yehova.”
16 “Mara tatu katika mwaka kila mwanamume wa kwako ataonekana mbele za Yehova Mungu wako katika mahali ambapo atapachagua:+ katika sherehe ya keki zisizo na chachu+ na katika sherehe ya majuma+ na katika sherehe ya vibanda,+ na mtu yeyote asionekane mbele za Yehova mikono mitupu.+