Kutoka 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Utaishika sherehe ya keki zisizo na chachu.+ Utakula keki zisizo na chachu+ siku saba, kama vile ambavyo nimekuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. Nao wasionekane mbele zangu mikono mitupu.+ Mambo ya Walawi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+ Hesabu 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na siku ya kumi na tano ya mwezi huu itakuwa sherehe. Keki zisizo na chachu zitaliwa kwa siku saba.+
15 Utaishika sherehe ya keki zisizo na chachu.+ Utakula keki zisizo na chachu+ siku saba, kama vile ambavyo nimekuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. Nao wasionekane mbele zangu mikono mitupu.+
6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+
17 Na siku ya kumi na tano ya mwezi huu itakuwa sherehe. Keki zisizo na chachu zitaliwa kwa siku saba.+