-
Hesabu 31:50Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
50 Kwa hiyo mruhusu kila mmoja wetu atoe vitu alivyopata ili viwe vya Yehova, yaani, vitu vya dhahabu, mikufu ya miguuni, bangili, pete za muhuri, vipuli, na vito vingine, ili Yehova afunike dhambi zetu.”
-