Kutoka 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakawaambia mara moja: “Yehova na awatazame ninyi na kuhukumu,+ kwa kuwa mmetufanya tunuke vibaya+ mbele ya Farao na mbele ya watumishi wake kwa kuutia upanga mkononi mwao watuue.”+ Kutoka 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Baadaye Musa akawaambia wana wa Israeli maneno hayo, lakini hawakumsikiliza Musa kwa sababu ya kuvunjika moyo na kwa sababu ya utumwa mgumu.+
21 Wakawaambia mara moja: “Yehova na awatazame ninyi na kuhukumu,+ kwa kuwa mmetufanya tunuke vibaya+ mbele ya Farao na mbele ya watumishi wake kwa kuutia upanga mkononi mwao watuue.”+
9 Baadaye Musa akawaambia wana wa Israeli maneno hayo, lakini hawakumsikiliza Musa kwa sababu ya kuvunjika moyo na kwa sababu ya utumwa mgumu.+