Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Musa akamwambia Yehova: “Nakuomba radhi, Yehova, lakini mimi si msemaji mzuri, tangu jana wala tangu kabla ya hapo wala tangu uliposema na mtumishi wako, kwa maana kinywa changu ni kizito na ulimi wangu ni mzito.”+

  • Yeremia 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama, mimi hakika sijui jinsi ya kusema,+ kwa sababu mimi ni mvulana tu.”+

  • Matendo 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa sababu hiyo Musa akafundishwa hekima+ yote ya Wamisri. Kwa kweli, yeye alikuwa mwenye nguvu katika maneno+ na matendo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki