7 Na sasa, Yehova Mungu wangu, wewe mwenyewe umemfanya mtumishi wako kuwa mfalme mahali pa Daudi baba yangu, nami ni mvulana mdogo tu.+ Sijui jinsi ya kutoka na jinsi ya kuingia.+
12 Usiache mtu yeyote audharau kamwe ujana wako.+ Badala yake, uwe kielelezo+ kwa waaminifu+ katika kusema, katika mwenendo, katika upendo, katika imani, katika usafi wa kiadili.+