17 ambaye atatoka nje mbele yao na ambaye ataingia ndani mbele yao na ambaye atawatoa nje na ambaye atawaingiza ndani,+ ili kusanyiko la Yehova lisiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”+
2 na kuwaambia: “Leo mimi nina umri wa miaka 120.+ Sitaruhusiwa tena kutoka nje na kuingia ndani,+ kama vile Yehova alivyoniambia, ‘Wewe hutavuka mto huu wa Yordani.’+
2 Jana na juzi vilevile,+ Sauli alipokuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliyeongoza Israeli katika kuwatoa na kuwaingiza.+ Na Yehova alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya Israeli.’”