Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ambaye atatoka nje mbele yao na ambaye ataingia ndani mbele yao na ambaye atawatoa nje na ambaye atawaingiza ndani,+ ili kusanyiko la Yehova lisiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”+

  • Kumbukumbu la Torati 31:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na kuwaambia: “Leo mimi nina umri wa miaka 120.+ Sitaruhusiwa tena kutoka nje na kuingia ndani,+ kama vile Yehova alivyoniambia, ‘Wewe hutavuka mto huu wa Yordani.’+

  • 2 Samweli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Jana na juzi vilevile,+ Sauli alipokuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliyeongoza Israeli katika kuwatoa na kuwaingiza.+ Na Yehova alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya Israeli.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki