Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwishowe Yehova akamwambia Samweli: “Ni mpaka wakati gani utamwombolezea Sauli,+ huku mimi, kwa upande mwingine, nimemkataa asitawale akiwa mfalme juu ya Israeli?+ Jaza pembe yako mafuta,+ nawe uende. Nitakutuma kwa Yese+ Mbethlehemu, kwa maana nimejipatia mfalme kati ya wanawe.”+

  • 2 Samweli 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakati wote ambao nimetembea katikati ya wana wote wa Israeli,+ je, kuna neno lolote ambalo niliambia moja la makabila ya Israeli,+ nililoamuru kuwachunga watu wangu Israeli, nikisema, ‘Kwa nini hamkunijengea nyumba ya mierezi?’”’

  • Zaburi 78:71
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 71 Aache kuwafuata wale wa kike wanaonyonyesha+

      Akamleta awe mchungaji juu ya Yakobo watu wake+

      Na juu ya Israeli, urithi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki