1 Mambo ya Nyakati 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakati wote ambao nilitembea+ katika Israeli yote, je, nilisema hata neno moja na mmoja wa waamuzi wa Israeli ambao niliamuru wawachunge watu wangu, nikisema, ‘Kwa nini hamjanijengea nyumba ya mierezi?’”’+
6 Wakati wote ambao nilitembea+ katika Israeli yote, je, nilisema hata neno moja na mmoja wa waamuzi wa Israeli ambao niliamuru wawachunge watu wangu, nikisema, ‘Kwa nini hamjanijengea nyumba ya mierezi?’”’+