- 
	                        
            
            1 Mambo ya Nyakati 17:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
6 Wakati wote nilipotembea na Waisraeli wote, je, niliwahi wakati wowote kumuuliza mwamuzi yeyote wa Israeli niliyemweka awachunge watu wangu, ‘Kwa nini hukunijengea nyumba ya mierezi?’”’
 
 -