-
1 Mambo ya Nyakati 17:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Wakati wote nilipotembea na Waisraeli wote, je, niliwahi wakati wowote kumuuliza mwamuzi yeyote wa Israeli niliyemweka awachunge watu wangu, ‘Kwa nini hukunijengea nyumba ya mierezi?’”’
-