25 Kisha utafanya kutokana nayo mafuta matakatifu ya kutia mafuta, marhamu, mchanganyiko wa kazi ya mtengenezaji wa marhamu.+ Yatakuwa mafuta matakatifu ya kutia mafuta.+
39 Kisha Sadoki kuhani akachukua pembe ya mafuta+ kutoka katika hema,+ akamtia mafuta+ Sulemani; nao wakaanza kupiga baragumu, na watu wote wakaanza kusema kwa sauti: “Mfalme Sulemani na aishi!”+