1 Samweli 15:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na Samweli hakumwona Sauli tena mpaka siku ya kifo chake, kwa maana Samweli alikuwa akimwombolezea+ Sauli. Naye Yehova akajuta kwamba alikuwa amemfanya Sauli kuwa mfalme juu ya Israeli.+ Mhubiri 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 wakati wa kulia+ na wakati wa kucheka;+ wakati wa kuomboleza+ na wakati wa kurukaruka;+
35 Na Samweli hakumwona Sauli tena mpaka siku ya kifo chake, kwa maana Samweli alikuwa akimwombolezea+ Sauli. Naye Yehova akajuta kwamba alikuwa amemfanya Sauli kuwa mfalme juu ya Israeli.+