Mwanzo 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Sara akafa katika Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaingia ndani kumwombolezea Sara na kumlilia. Yeremia 25:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Pigeni mayowe, ninyi wachungaji, na mpaaze kilio!+ Na mgaegae,+ ninyi watu mashuhuri wa kundi,+ kwa sababu siku za kuchinjwa kwenu na za kutawanywa kwenu zimetimia,+ nanyi mtaanguka kama chombo kinachotamanika!+
2 Basi Sara akafa katika Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaingia ndani kumwombolezea Sara na kumlilia.
34 “Pigeni mayowe, ninyi wachungaji, na mpaaze kilio!+ Na mgaegae,+ ninyi watu mashuhuri wa kundi,+ kwa sababu siku za kuchinjwa kwenu na za kutawanywa kwenu zimetimia,+ nanyi mtaanguka kama chombo kinachotamanika!+