- 
	                        
            
            2 Wakorintho 7:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        11 Kwa maana, tazama! jambo hili, kule kuhuzunishwa kwenu kwa njia ya kimungu,+ kulitokeza katika ninyi hali ya bidii kubwa kama nini, ndiyo, kujiondolea wenyewe hatia, ndiyo, ghadhabu, ndiyo, woga, ndiyo, kutamani, ndiyo, bidii, ndiyo, kurekebisha kosa!+ Katika kila jambo mlijionyesha kuwa safi kiadili katika jambo hili. 
 
-