Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Tunalala katika aibu+ yetu, na fedheha yetu inaendelea kutufunika;+ kwa maana tumemtendea dhambi+ Yehova Mungu wetu, sisi na baba zetu tangu ujana wetu na kuendelea mpaka leo hii,+ nasi hatukuitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+

  • Yeremia 50:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Katika siku hizo na katika wakati huo,”+ asema Yehova, “wana wa Israeli, wao na wana wa Yuda pamoja, watakuja.+ Watatembea, wakilia huku wakitembea,+ nao watamtafuta Yehova Mungu wao.+

  • Matendo 2:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi waliposikia hilo walichomwa moyoni,+ nao wakamwambia Petro na wale mitume wengine: “Wanaume, akina ndugu, tufanye nini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki