25 Tunalala katika aibu+ yetu, na fedheha yetu inaendelea kutufunika;+ kwa maana tumemtendea dhambi+ Yehova Mungu wetu, sisi na baba zetu tangu ujana wetu na kuendelea mpaka leo hii,+ nasi hatukuitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+
4 “Katika siku hizo na katika wakati huo,”+ asema Yehova, “wana wa Israeli, wao na wana wa Yuda pamoja, watakuja.+ Watatembea, wakilia huku wakitembea,+ nao watamtafuta Yehova Mungu wao.+