Mathayo 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo basi zaeni matunda yanayofaa toba;+ Matendo 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 lakini kwa wale walio katika Damasko+ kwanza na pia kwa wale walio katika Yerusalemu,+ na juu ya nchi yote ya Yudea, na kwa mataifa+ nilienda nikiuleta ujumbe kwamba wao wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu kwa kufanya matendo yanayostahili toba.+
20 lakini kwa wale walio katika Damasko+ kwanza na pia kwa wale walio katika Yerusalemu,+ na juu ya nchi yote ya Yudea, na kwa mataifa+ nilienda nikiuleta ujumbe kwamba wao wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu kwa kufanya matendo yanayostahili toba.+