Mathayo 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, wakaondoka upesi kaburini, wakiwa na woga na shangwe kubwa, wakakimbia kuwajulisha wanafunzi wake.+ Luka 24:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Lakini walipokuwa bado hawaamini+ kwa ajili ya shangwe tupu na wakiwa wamestaajabu, akawaambia: “Je, mna chakula hapo?”+ Yohana 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na baada ya kusema hayo, akawaonyesha mikono yake miwili na ubavu wake.+ Basi wanafunzi hao wakashangilia+ kwa kumwona Bwana.
8 Kwa hiyo, wakaondoka upesi kaburini, wakiwa na woga na shangwe kubwa, wakakimbia kuwajulisha wanafunzi wake.+
41 Lakini walipokuwa bado hawaamini+ kwa ajili ya shangwe tupu na wakiwa wamestaajabu, akawaambia: “Je, mna chakula hapo?”+
20 Na baada ya kusema hayo, akawaonyesha mikono yake miwili na ubavu wake.+ Basi wanafunzi hao wakashangilia+ kwa kumwona Bwana.