Yohana 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini mmoja wa hao askari-jeshi akauchoma ubavu wake kwa mkuki,+ na mara moja damu na maji vikatoka. 1 Yohana 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Kile kilichokuwa tangu mwanzo,+ ambacho tumesikia,+ ambacho tumeona kwa macho yetu,+ ambacho tumetazama+ kwa uangalifu na mikono yetu ikakigusa,+ kuhusu neno la uzima,+
34 Lakini mmoja wa hao askari-jeshi akauchoma ubavu wake kwa mkuki,+ na mara moja damu na maji vikatoka.
1 Kile kilichokuwa tangu mwanzo,+ ambacho tumesikia,+ ambacho tumeona kwa macho yetu,+ ambacho tumetazama+ kwa uangalifu na mikono yetu ikakigusa,+ kuhusu neno la uzima,+