Yohana 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kupitia kwake kilikuwa uzima,+ na uzima ndio uliokuwa nuru+ ya wanadamu. Yohana 6:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Simoni Petro+ akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele;+