Yohana 6:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Roho ndiyo inayotokeza uzima;+ mwili hauna faida hata kidogo. Maneno ambayo nimewaambia ni roho+ na ni uzima.+ Yohana 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uzima wa milele+ ndio huu, waendelee kupata ujuzi+ juu yako wewe, Mungu wa pekee wa kweli,+ na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+ Matendo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Nendeni, na, mkiisha kusimama katika hekalu, semeni na watu maneno yote juu ya maisha haya.”+
63 Roho ndiyo inayotokeza uzima;+ mwili hauna faida hata kidogo. Maneno ambayo nimewaambia ni roho+ na ni uzima.+
3 Uzima wa milele+ ndio huu, waendelee kupata ujuzi+ juu yako wewe, Mungu wa pekee wa kweli,+ na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+