-
2 Wakorintho 7:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Kwa maana, tazameni! jambo hilihili, kuwa kwenu wenye kuhuzunishwa katika njia ya kimungu, kulitokeza katika nyinyi hali ya bidii kubwa kama nini, ndiyo, kujiondolea wenyewe hatia, ndiyo, ghadhabu, ndiyo, hofu, ndiyo, kuwa na hamu sana, ndiyo, bidii, ndiyo, kusahihisha lililo kosa! Katika kila jambo mlijionyesha wenyewe kuwa safi kiadili katika jambo hili.
-