1 Wakorintho 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mambo hayo tunayasema pia, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya binadamu,+ bali kwa yale yanayofundishwa kwa roho,+ tunapounganisha mambo ya kiroho pamoja na maneno ya kiroho.+
13 Mambo hayo tunayasema pia, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya binadamu,+ bali kwa yale yanayofundishwa kwa roho,+ tunapounganisha mambo ya kiroho pamoja na maneno ya kiroho.+