Waamuzi 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Baadaye ndugu zake na watu wote wa familia ya baba yake wakaja kumchukua. Wakamzika kati ya Sora+ na Eshtaoli katika kaburi la Manoa+ baba yake. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka 20.+
31 Baadaye ndugu zake na watu wote wa familia ya baba yake wakaja kumchukua. Wakamzika kati ya Sora+ na Eshtaoli katika kaburi la Manoa+ baba yake. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka 20.+