Mwanzo 49:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Dani atawahukumu watu wake akiwa mmoja wa makabila ya Israeli.+ Waamuzi 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi Yehova alikuwa akisimamisha waamuzi,+ nao walikuwa wakiwaokoa kutoka mkononi mwa waporaji wao.+ Waamuzi 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akaendelea kuhukumu Israeli katika siku za Wafilisti kwa miaka 20.+
16 Basi Yehova alikuwa akisimamisha waamuzi,+ nao walikuwa wakiwaokoa kutoka mkononi mwa waporaji wao.+