Hesabu 26:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wana wa Manase+ walikuwa: Wa Makiri+ familia ya Wamakiri. Naye Makiri akamzaa Gileadi.+ Wa Gileadi familia ya Wagileadi. Yoshua 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kura+ ikawa kwa ajili ya kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ kwa ajili ya Makiri+ mzaliwa wa kwanza wa Manase, baba ya Gileadi,+ kwa sababu alikuwa mtu wa vita;+ na Gileadi+ na Bashani zikawa zake.
29 Wana wa Manase+ walikuwa: Wa Makiri+ familia ya Wamakiri. Naye Makiri akamzaa Gileadi.+ Wa Gileadi familia ya Wagileadi.
17 Na kura+ ikawa kwa ajili ya kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ kwa ajili ya Makiri+ mzaliwa wa kwanza wa Manase, baba ya Gileadi,+ kwa sababu alikuwa mtu wa vita;+ na Gileadi+ na Bashani zikawa zake.