Mwanzo 29:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa. Mwanzo 49:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+ Waebrania 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana ni wazi kabisa kwamba Bwana wetu ametokana na Yuda,+ kabila ambalo Musa hakusema lolote juu yake kuhusiana na makuhani.
35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa.
8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+
14 Kwa maana ni wazi kabisa kwamba Bwana wetu ametokana na Yuda,+ kabila ambalo Musa hakusema lolote juu yake kuhusiana na makuhani.