1 Samweli 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na ikawa kwamba walipokuwa wakiingia naye akamwona Eliabu,+ mara moja akasema: “Hakika mtiwa-mafuta wake yuko mbele za Yehova.” 1 Samweli 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wale wana watatu wakubwa zaidi wa Yese wakaenda. Walimfuata Sauli kwenda vitani,+ na majina ya wanawe watatu walioenda vitani ni Eliabu+ mzaliwa wa kwanza, na mwana wake wa pili Abinadabu+ na wa tatu Shamma.+ 1 Mambo ya Nyakati 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 wa Yuda, Elihu,+ mmoja wa ndugu za Daudi;+ wa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli;
6 Na ikawa kwamba walipokuwa wakiingia naye akamwona Eliabu,+ mara moja akasema: “Hakika mtiwa-mafuta wake yuko mbele za Yehova.”
13 Na wale wana watatu wakubwa zaidi wa Yese wakaenda. Walimfuata Sauli kwenda vitani,+ na majina ya wanawe watatu walioenda vitani ni Eliabu+ mzaliwa wa kwanza, na mwana wake wa pili Abinadabu+ na wa tatu Shamma.+