1 Samweli 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Yese akamwita Abinadabu,+ akampitisha mbele ya Samweli, lakini akasema: “Yehova hakumchagua huyu pia.” 1 Mambo ya Nyakati 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu,+ na Abinadabu+ wa pili, na Shimea+ wa tatu,
8 Ndipo Yese akamwita Abinadabu,+ akampitisha mbele ya Samweli, lakini akasema: “Yehova hakumchagua huyu pia.”