1 Samweli 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Yese akamwita Abinadabu,+ akampitisha mbele ya Samweli, lakini akasema: “Yehova hakumchagua huyu pia.” 1 Samweli 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wale wana watatu wakubwa zaidi wa Yese wakaenda. Walimfuata Sauli kwenda vitani,+ na majina ya wanawe watatu walioenda vitani ni Eliabu+ mzaliwa wa kwanza, na mwana wake wa pili Abinadabu+ na wa tatu Shamma.+
8 Ndipo Yese akamwita Abinadabu,+ akampitisha mbele ya Samweli, lakini akasema: “Yehova hakumchagua huyu pia.”
13 Na wale wana watatu wakubwa zaidi wa Yese wakaenda. Walimfuata Sauli kwenda vitani,+ na majina ya wanawe watatu walioenda vitani ni Eliabu+ mzaliwa wa kwanza, na mwana wake wa pili Abinadabu+ na wa tatu Shamma.+