1 Samweli 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha Yese akampitisha Shamma,+ lakini akasema: “Yehova hakumchagua huyu pia.” 1 Mambo ya Nyakati 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akaendelea kudhihaki+ Israeli. Mwishowe Yonathani mwana wa Shimea+ ndugu ya Daudi akampiga na kumuua.
7 Naye akaendelea kudhihaki+ Israeli. Mwishowe Yonathani mwana wa Shimea+ ndugu ya Daudi akampiga na kumuua.