Kumbukumbu la Torati 32:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+ 1 Samweli 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Mfilisti huyo akaendelea kusema: “Mimi ninavitukana+ vikosi vya Israeli leo. Nipeni mwanamume, tupigane naye!”+ 2 Wafalme 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+
27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+
10 Na Mfilisti huyo akaendelea kusema: “Mimi ninavitukana+ vikosi vya Israeli leo. Nipeni mwanamume, tupigane naye!”+
22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+