Mwanzo 30:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi akamwita jina lake Yosefu,+ akisema: “Yehova ananiongezea mwana mwingine.” Mwanzo 49:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Yosefu ni chipukizi la mti unaozaa matunda,+ chipukizi la mti unaozaa matunda kando ya chemchemi,+ ambao husukuma mbele matawi yake juu ya ukuta.+
22 “Yosefu ni chipukizi la mti unaozaa matunda,+ chipukizi la mti unaozaa matunda kando ya chemchemi,+ ambao husukuma mbele matawi yake juu ya ukuta.+