Kumbukumbu la Torati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yosefu akamwambia:+“Nchi yake na ibarikiwe daima na Yehova+Kwa vitu bora vya mbinguni, kwa umande,+Na kwa kilindi cha maji kilicho chini,+ Yoshua 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+
13 Na Yosefu akamwambia:+“Nchi yake na ibarikiwe daima na Yehova+Kwa vitu bora vya mbinguni, kwa umande,+Na kwa kilindi cha maji kilicho chini,+ Yoshua 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+
16 Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+